KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, August 24, 2011

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr Cristine Ishengoma akieleza maswala ya Elimu

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr Cristine Ishengoma akiwa ofisini kwake akieleza swala zima la uboreshaji wa Elimu Mkoani Ruvuma alipo kuwa akiongea na Mwandishi wa Star Tv Adamu Nindi

ADAMU NINDI –ELIMU –SONGEA

Mkuu wa mkoa wa ruvuma Dr Cristina Ishengoma amesema ili kujenga uwezo wa wanafunzi kufanya vizuri katika mitihani ya kidato cha pili na cha nne katika somo la kingereza wanafunzi wanatakiwa kusoma somo hilo toka shule ya awali.

Mkuu wa mkoa amesema hayo wakati akihojiana na star tv kwa nini watoto wa shele za sekondari wana shindwa kumudu somo la kingereza.

Wanafunzi wa shule ya secondary ya wavulana songea wamesema katika kuboresha lugha ya kingereza na somo la kingereza ina takiwa kuwa na walimu wenye wito.
,
Nao wanafunzi wa shule ya wasichana songea wamesema msingi wa somo la kingereza ujengwe toka shule za awali .

Inginia haruna makule ,afisa elimu secondary Justin mwingira mwalimu wa shule ya secondary beroya joseph matiko, meneja wa bima mkoa wa ruvuma moses senje wamesema walimu wanao ajiriwa wawe na ujuzizi wa somo la klingereza pia waajibike wajue wapo kazini kufundisha,

Mkuu wa mkoa cristina ishengoma amesema somo la kingereza lianzie shule ya awali na katika bunge lililo pita ili gusia kuhusu kupandisha kiwango cha elimu kwa somo la kingereza
Miongoni ya mikoa ambayo haikufanya vizuri katika mtihani wa kidato cha nne mwaka jana miongoni mwake ni mkoa wa ruvuma, mkoa umejipanga kukabiliana na swala hilo.

No comments:

Post a Comment