KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, August 24, 2011

MEYA WA MANSPAA YA SONGEA AFARIKI



Jeneza la aliye kuwa meya wa songea Hayati Ally Said Manya akipelekwa kuzikwa makaburi ya Lizaboni Songea




ADAMU NINDI –SONGEA –KIFO MEYA
Mmanspaa ya songea na vitongoji vyake iko katika majonzi baada ya kumpoteza aliye kuwa Meya wa Manspaa ya Songea Ally Said Manya ambaye amefariki tarehe 30/7/2011 katika hospitali ya peramiho songea vijijini.

Mwenyekiti wa kamati ya mazishi James Makene Diwani wa Matarawe Manspaa ya Songea amesema mazishi yaliye kuwa Meya wa Manspaa ya Songea yata fanyika siku ya Jumaa Tatu majira ya saa saba mchana.

Mwenyekiti wa mazishi James Makene amesema kamati ya mazishi imeanza mandalizi ya mazishi .kamati ina watu watano wakiwemo viongozi wa serekari na vyama vya siasa.watu ambao wamesha fika katika eneo la msiba ni pamoja na viongozi wa chana serekari.

Mkuu wa mkoa wa ruvuma Dr Cristina Ishengoma ametoa salamu za Rambi Rambi kwa wafiwa , Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Cristina Ishengoma pia ametoa salamu za Rambirambi katika ofisi ya waziri Mkuu [ TAMISEMI] na wa Bunge wote wa Mkoa wa Ruvuma.
Walio toa tarifa za kushiriki mazishi hayo ni pamoja na Waziri wa Habari na Utamaduni Dr Emanuel John Nchimbi ambaye ni mbunge wa jimbo la songea.Marehemu Ally Saidi Manya alikuwa akisumbuliwa na Kisukari amefariki akiwa hospitali ya Peramiho Songea vijijini, ina lilahi waina rajuni,[sisi ni wamwenyezi mungu na kwake tuta rejea] Rohoho ya marehemu Ally Said Manya Mwenyezi Mungu aiweke mahari pema peponi

No comments:

Post a Comment