KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, August 26, 2011

BIASHARA HARAMU YA MIFUPA YA BINADAM YA INGIA TANZANIA
Adamu nindi –songea

Jeshi la Police mkoani Ruvuma limemtia mbaroni Said Kandamanje kwa tuhuhuma ya kumua Jafari Shabani Issa na kuchuna ngozi hatimaye kupangua mifupa yake,

Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Maiko Kamhanda amelitaja tukio hilo kuwa lime tokea kata ya mhukuru kijiji cha nakawale Songea vijijini wakati Saidi Kandamanje alipo mrubuni Jafari Shabani Issa kuwa waende Mtoni kuoga ,

Said Kandamanje mara baada ya kufika katika mto Nakawale alimpiga na kitu kizito Jafari Shabani Issa ,hatimaye kumchuna ngozi na kumalizia kupangua mifupa, nyama na kichwa alivitia katika mfuko wa mbolea na kuviacha kando ya mto hadi ndugu walipo kuja kutambua mabaki ya mwili wa marehemu,

Jeshi la Police lilipo mhoji mtuhumiwa amesema Mifupa ya Binadamu na Ngozi ni bidhaa inayo uzwa katika nchi jirani,akithibitisha usemi wake amesema Makaburi mengi mpakani yana fukuliwa Watu walidhani ni Fisi kumbe ni kutokana na biashara hiyo haramu,

No comments:

Post a Comment