KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, August 25, 2011

MEJA AHAMED ABASI JKT MLALE SONGEA

meja ahemed ahamed akiwa na kaimu mkurugenzi wa h/ya wilaya ya songea wakipokea kombe kutoka kwa vijana wa JKT Mlale Songea Vijijni.



Mwalimu mkuu wa Sekondari ya Matimila Songea vijijini Mkoani Ruvuma akiwa amejinyonga baada ya kutuhumiwa kubaka




Fundi seremala akiwa amejinyonga baada ya kumtuhumu mke wake kutembea nyinje ya ndoa


Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mh. Jenista Mhagama akipokelewa na wanachama wa CCM katika kijiji cha igawisenga songea vijijini mara baada ya kuchaguliwa kuwa katibu wa wabunge wa chama cha mapinduzi


Mjasilia mali akipika Ugali kwa ajili ya kuuza katika wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma



wapimaji wa mipaka kutoka Msumbiji na Tanzania wakiwa katika kambi yao Lipalamba



Mwandishi wa Habari Adamu Nindi akitafuta habari kwa wananchi walioko pembezoni mwa mkoa wa Ruvuma


Wajumbe wa Tanzania na Wajumbe wa Msumbiji wakiwa katika kikao kujali jinsi ya kuitambua mipaka iliyo wekwa na serekari ya kijerumani .

No comments:

Post a Comment