KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, July 19, 2012

AJALIYA MELI ZANZIBAR YA LETA TASWILA MBALIMBALI

Hizo ni maiti ambazo zimeopolewa baada ya meli kuzama huko zanzibar ,Watanzania tua kazi kubwa ya kumwomba mwenyezi Mungu kuepusha Mauaji kama haya, Wakristo kwa Waislamu Mwezi wa Ramadhani katika Swaumu Tushiriki wote kumwomba Mwenyezi Mungu aepushe balaa hii

Watu Mbalimbali walio kuja kushuhudia ajali ya Meli iliyo Zama Huko Zanzibar

No comments:

Post a Comment