KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, July 19, 2012

VIONGOZI WASHILIKI JUHUDI ZA KUWA WAPA POLE WALIO FIKWA NA JANGA LA KUZAMA KWA MELI YA SKIGET ZANZIBAR

Imebainika kuwa abiria zaidi ya mia mbili na hamsini kuzama karibu karibu na kisiwa cha Zanzibar nchini Tanzania .
Kwa mujibu wa taarifa zilizitolewa na kikosi cha wanamaji, watu wengine wengi wanaripotiwa kuokolewa kufuatia meli hiyo kuzama kutokana na dhoruba kali.


Bunge la Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania wakiwa katika mjadala jinsi ya Kukabiliana na Janga la Kuzama Meli ya Skiget kakita kisiwa cha Chume Chini ya Sipika Anna Makinda ambaye alionyesha msimamo wa Serekari ulivyo kuhusu swala hilo.

Makamu wa Rais Dr Mohamed Bilall akiwa hospitali kuwatembelea baadhi ya majeruhi walio patwa na janga la kuzama kwa meli huko zanzanzibar

No comments:

Post a Comment