KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, July 17, 2012

SENSA YA WATU NA MAKAZI NI UKOMBOZI KWA WATANZANIA

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh Said Thabit Mwambungu akiwataka wanaruvuma kumwomba Mwenyezi Mungu ili zoezi la Sensa ya Watu na Makazi liweze kufanikiwa.
Amesema Zoezi la Sensa ya Watu na Makazi ndiyo Ukombozi kwa Mwananchi wa Tanzania kuweza kujua na kupanga Mipango ya Maendeleo ikiwemo Uchumi, Afya, Elimu na Miundombinu ya Mawasiliano.

Watu wako katika harakati za sensa ya makazi ya watu wakichukua mambo mbalimbali ili wafanikishe sensa.

Wajumbe kutoka wilaya mbalimbali wakiwa katika kuratibu mambo ya Sensa na Makazi ya Watu

Wajumbe kutoka wilaya Tano za Mkoa wa Ruvuma wakiwa katika katika mafunzo ya sensa

Mjumbe wa kamati ya sensa ya watu na Makazi mkoa wa Ruvuma ambayo ina andaa sensa ya makazi kimkoa

No comments:

Post a Comment