KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, July 17, 2012

MKUU WA MKOA WA RUVUMA SAID THABIT MWAMBUNGU ATOA LAKI TANO KWA POLICE WANAWAKE

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu akitoa fedha shilingi laki tano kwa ajili ya Milango kwa Jengo la Police Wanawake Mkoa waRuvuma

Mwenyekiti wa Mtandao wa Police wanawake Ins.Anna Tembo akimkabidhi Mhasibu Mesia Mfupa Shilingi laki Tano zilizo tolewa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu


Hiyo ni furaha ya pekee pale unapo kuwa karibu na kiongozi wa mkoa kutoa fedha kama hizo kwa ajili ya wanawake aliye pembeni ni Fadhila Chacha akitabasamu kuonyesha sasa jengo lina isha.

No comments:

Post a Comment