KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, July 29, 2012

BINT NDEMBO MGANGA MARUFU WA JADI MKOA WA RUVUMA APATA NAFUU HOSPITALINI

Mganga Marufu wa Jadi Mkoani Ruvuma akiwa amelazwa katika Hospitali ya Peramiho Songea Vijijini baada ya Kuvamiwa na Majambazi akiwa Kazini kwake kilometa 64 kutoka songea mijini baadhi ya ndugu na jamaa walimiminika kwenda kumwona akiwa Hospitalini

Mganga Marufu Flola Ndembo akiwa Hospitali ya Peramiho Songea Vijijini akipata tiba baada ya Majambazi kumfunga kamba Miguuni na Mikononi wakidai ana zuia kazi zao

Mguzi katika Hospitali ya Peramiho akiendelea kumpa tiba bint Flola Ndembo ambaye anasumbuliwa na mishipa kushindwa kupitisha damu sawa sawa,

No comments:

Post a Comment