KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, July 23, 2012

KIKAO CHA KAZI KWA ASKARI WA USALAM,A BARABARANI MKOA WA RUVUMA

Mkuu wa Wilaya ya Mbinga akitopa mfano alipo kuwa Mdogo kitu cha kumwogofya mtoto ni kusema Polisi Huyo, Sasa Dhana hiyo haipo ila Police wanatakiwa kujiepusha na Falagha ili kuweka imani kwa Raia


Mkuu wa Wilaya ya Mbinga akifungua Rasimi mafunzo ya Kazi kwa Asikari wa Usalama Barabarani kikao kilicho fanyika katika ukumbi wa Jimbo la Mbinga



Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma akitoa msisitizo wa Kazi katika kupunguza Uhalifu Mkoani Ruvuma


Hao niasikari wa usalaama Barabarani wakiwa katika kikao malumu cha kazi kuhusu kujiepusha na Rushwa


Asikari wa Usalama Barabarani wanatakiwa kuwa rafiki wa wawaendesha vyombo vya moto, lakini asikari wachache hutumia ukali ili wapate chochote , Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Deusdediti Nsimike amewataka Asikari wa Usalama Barabarani Kutoa Elimu kwa Watembea kwa miguu na wale wenye Vyombo vya Moto Kikao hicho cha kazi kilifanyika Wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma

1 comment:

  1. Brother Nindi nimekupata vyeme katika sherehe hizo na picha zako zoote kabisa. Nashauri Before you Post Pictures and words, Edit. Juma Nyumayo Dar es Salaam.

    ReplyDelete