KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, July 7, 2012

MRADI MKUBWA WA KILIMO CHA KISASA WA ZINDULIWA RUVUMA NA WAZIRI MKUU MH.MIZENGO KAYANZA PINDA

Funguo 53 za Matrekta ambayo Waziri Mkuu Mh.Mizengo Kanza Pinda alizikabidhi kwa watu walio nunua Tayari kwa kuanza kilimo

Waziri Mkuu akiwa juu ya Trekta ambalo lime nunuliwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh.Saidi Thabiti Mwambungu

Waziri mkuu akipanda Mti wa kivuli katika shamba la kahawa Lipokela songea vijijini


Waziri Mkuu Mh. Mizengo Kayanza Pinda akiwa katika kitengo cha kuhifahi mahindi luhuwiko manspaa ya songea

Mheshimiwa Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Pinda akikagua Micheya kahawa katika shamba la wawekezaji Lipokela Songea Vijijini


Hiyo ni Miche ya kahawa ambayo ina tarajiwa kupandwa Ekari 500 zilizopo katika eneo hilo

Waziri Mkuu Mizengo Kanza Pinda akiendelea kukagua shamba la Miche ya Kahawa akiwa na Mwenyeji wake Mkuu wa Mkoa Saidi Thabit Mwambungu

waziri mkuu akiangalia ngoma ya Ligambusa jinsi ilivyo kuwa ikitumbuiza katika kitengo cha hifadhi ya chakula Luhuwiko Songea

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiwa amemaliza kukagua Shama la Kahawa katika eneo la lipokel songea vijijini

No comments:

Post a Comment