KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, July 6, 2012

WAZIRI MKUU AWASILI MKOANI RUVUMA

Wakuu wa vikosi vya Jeshi la wananchi wakiwa uwanja wa Ndege Luhuwiko waki mngoja waziri Mkuu Mh Mizengo Kayanza Pinda

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh.Said Thabit Mwambungu akiwa na Maafisa wa Vikosi vya Jeshi akimngoja Waziri Mkuu uwanja wa Ndege Luhuwiko Songe

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Kayanza Pinda akiwa ana salimiana na viongozi Mkoa wa Ruvuma aliye vaa Joho jekundu ni Msiki Meya wa Manispaa ya Songea Chares Mhagama


Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Pinda Mara baada ya Kuwasili uwanja wa Luhuwiko Songea

Mkuu wa Mkoa Mh.Sabiti Mwambungu akimpokea waziri Mkuu Mh. Mizengo Kayanza Pinda

Naibu Meya wa Manspaa ya Songea Mariamu Dhizumba akipeana Mkono na Waziri Mkuu Mh. Mizengo Kayanza Pinda

Mh.Jenista Mhagama akiumana sikio na Katibu wa CCM Mkoa wa Ruvuma katika viwanja vya Ikulu Songea

Mbunge wa Mbinga Magharibi Gaudence Kayombo akiwa na katibu wa CCM Mkoa na mbunge wa Tunduru wakipeana Mawazo Viwanja vya Ikulu ndogo Songea

Mlinzi wa Katibu wa CCM Mkoa akitekeleza kazi yake ya Ulinzi huku akiwa mkakamavu

Jaji mfawidhi wa Makama kuu ya Kanda ya Songea Mh.Peter Chocha akiwa na Jaji mwenzie

Dakitali Chanangula akiwa uwanja wa Ndege akingoja Msafara wawaziri Mkuu huku akiangalia huku na kule kuangalia kama kuta tokea mgonjwa

RTO Mkuu wa vikosi vya usalama Barabarani ,Mkuu wa Kikosi cha kutuliza ghasia na RCO mKUU WA Upelelezi mkoa wa Ruvuma wakiwa katika kuangalia hali ya hewa uwanjani

No comments:

Post a Comment