KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, July 15, 2012

ELIMU YA DINI INA LETA MAADILI MEMA KWA MTOTO

Mtoto mdogo akionyesha uwezo wake wa kuhifadhi Kurani Tukufu Maadili mema ya Watoto yanatokana na kujua Mafundisho ya Dini mbambali ,Nijuu ya Mzazi kumpeleka mtoto katika vituo vya dini ajifunze Maadili Mema

Watoto walio shiriki wakisoma Risala mbele ya Wazazi wa Manspaa ya Songea

wazazi wakisikiliza kwa makini mashindano ya usomaji wa kurani Tukufu

Wazazi mbali mbali wakiwa kwenye ukumbi wa Open unvesrt kusikiliza mashindano ya Usomaji wa kurani Tukufu


Kijana akisoma Kurani Tukufu aliyo hifadhi bila kuangalia kwenye Kurani Tukufu mbele ya halaiki ya wasikilizaji

Watoto wadogo waliokuja kushinda na wenzao kutoka madrasa Tisa za Manspaa ya Songea wakionekana katika Furaha

Watoto walio shiriki mashindano ya usomaji kurani katika mansipaa ya Songea

Wazazi wakiwa wamekuja kushuhudia mashindano ya kurani Tukufu katika ukumbi wa Open unvest katika manispaa ya songea

No comments:

Post a Comment