KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, September 30, 2011

MKATABA KATI YA LICHINGA MSUMBIJI NA MANSPAA YA SONGEA TANZANIA

Meya wa Manspaa ya Songea Chares Mhagama akienda jukwaani kuhutubia wananci kujua madhumuni ya mkataba kati ya Lichinga Msumbiji na Songea Tanzani akiwa na mpambe wake Diwani wa Mateka Rehema Milinga [Picha na Adam Nindi] Meya wa Manspaa ya Songea Chares Mhagama akitia sahihi Mkataba wa Mahusiano ya kibiashara,Elimu,na Uhusiano Mwema kati ya Manspaa ya Songea na Manspaa ya Lichinga aliye katikati ni Meya wa Lichinga Augusto Lius [Picha na Adam Nindi]


Afisa Elimu kutoka Lichinga Msumbiji Paulina Magagula akiwa na wanafunzi kutoka Msumbiji wakiwa Serengeti wakipata Chakula baada ya kutembelea miradi Mbalimbali ya Manspaa ya Songea ikiwemo miradi ya Secondary.[Picha na Adam Nindi]

No comments:

Post a Comment