KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, September 20, 2011

WATOTO YATIMA CHIPOLE SONGEA VIJIJINI WAOMBA MSAADA

Misheni ya Chipole iliyoko Songea vijijini hupokea watoto ambao hawana wazazi na wale wazazi wao ambao wana upungufu wa akili, changamoto inayo kabili kituo cha kulelea watoto chipole ni kukosa ushirikiano na Jamii kusaidia kituo hicho kwa kile walicho kuwa nacho, Pichani Juu ni mtoto Yatima akilazimishwa kunywa uji,

No comments:

Post a Comment