KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, September 30, 2011

MEYA WA MANSPAA YA LICHINGA MSUMBIJI ATEMBELEA MKOA WA RUVUMA

Wafanyakazi wa SOWASA wakiwa na wageni kutoka Msumbiji wakitembezwa ili kuona jinsi mkoa wa Ruvuma ulivyo piga hatua katika kuhudumia wananchi huduma ya maji aliye vaa shati jekundu ni Meya wa Jiji la Lichinga Nchini Msumbiji Augosto Lius na aliye vaa shati yanjano Mstaiki Meya wa Manspaa ya Songea Chares MhagamaMeya wa Manspaa ya Songea Chares Mhagama akiwa na Msitaiki Meya wa Lichinga Nchini Msumbiji Augost Luis akimtembeza kuona miradi ya Maji katika chujio la maji Matogoro


Wanafunzi kutoka Msumbiji walio kuja kujifunza kuhusu elimu katika manspaa ya songea hapo wapo na mwalimu wao aliye simama nyuma ya wanafunzi kushoto



Meya wa manspaa ya Songea aliye vaa shati la njano Chares Mhagama akiwa na Meya wa Manspaa ya Lichincha Nchini Msumbiji Agusto Lius aliye vaa shati Jekundu, Aliye kulia ni Mwandishi wa Radio Free Africa na Star TV ndugu Adamu Nindi

No comments:

Post a Comment