KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, September 30, 2011

Afisa Elimu wa Mkoa wa Lichinga Nchini Msumbiji Paulina Magagula akiwa Mkoani Ruvuma kushuhudia Mkataba wa Maendeleo Baina ya Manispaa ya lichinga na Manispaa ya Songea kuhusu Maendeleo ya Biashara na Elimu.

( Regional Education Officer of Lichinga Pailina Magagula who visite at Ruvuma Regional to be witness for Agrement between municipal of Lichinga and Manispaa of Songea for Development in Bussines and Education).[Picture by Adam Nindi]


Katibu wa Mbunge Jimbo la Songea Mjini Andrew Chatwanga akiwa katika viwanja vya Manispaa ya Songea kushuhudia Mkataba wa Maendeleo kati ya Manispaa ya Lichinga Msumbiji na Manispaa ya Songea Tanzania


Katibu wa CCM wilaya ya Songea akiwa na Meya wa Manispaa ya Lichinga Msumbiji Augusto Lius akitoa nasaha kwa watoto wa Shule ya Msingi Mfaranyaki wazingatie elimu

No comments:

Post a Comment