KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, September 17, 2011

WANA RUVUMA WAMKUMBUKA DR CRISTINA ISHENGOMA

Mashujaa wa Jeshi la Wananchi Tanzania wakiweka shahada ikiwa ni moja ya kuwa kumbuka mashujaa walio nyongwa na kuzikwa kaburi moja

Aliye kuwa mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr ,Cristina Ishengoma wanaruvuma hawata msahau kutokana na kazi alizo zifanya ikiwa pamoja na kilimo, Kuweka hali mzuri ya kumbukumbu za mashujaa walio nyongwa na Wajerumani hapo anaonekana akiwa amevaa mavazi yenye rangi nyekundu ikiwa ni ishara ya nguo za machifu.Wanaruvuma wanamtakia maisha mema mkoani Iringa

No comments:

Post a Comment