KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, September 13, 2011

Makamu Mwenyekiti Mbinga Mkoani Ruvuma ashiriki Tamasha

Makamu mwenyekiti wa h/ya wilaya ya mbinga mkoani ruvuma akibadilishana mawazo na mheshimiwa diwani wa singida wakati wakingoja watoa mada kutoka Zimbambwe,Ghana wakijiandaa kutoa mada


Wachezaji wa ngoma wakiwaburudisha wana harakati walio kuja kushiriki tamasha la 10 la mtandao wa njisia Tamasha linalo fanyika jijini DSM



Mwandishi wa Habari wa star tv Adamu Nindi akiwa katikati akiwa na Walimu walemavu wa Kutokuona kutoka kulia ni Mwalimu Doris Kulanga na kushoto ni dorothy kaihuzi ka



walimu wakifurahia maisha katika viwanja vya Mabibo jijini Dar - es - salaam wakati wa tamasha la Jinsia TGNP

No comments:

Post a Comment