KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, September 18, 2011

Mwonekano wa jiji la Dar -es - salaam na pilika za magari yakiwa katika barabara kuu iendayo Mikoani

Hali ya uchafuzi wa mazingira barabarni wasafiri wanao safiri hutupa makopo ovyo ,pia jambo la kiusafi nipale Basi linapo simama na kusema tuchimbe dawa na kila mmoja kujisaidia anapo taka jee hali hii tuta kabiliana nayo vipi? Mbeleni kutazuka magonwa ya mlipuko ambayo yatatugharimu fedha nyingi kutibu watu nivizuri changamoto hii tuitatue mapema

No comments:

Post a Comment