KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, September 12, 2011

HARAKATI ZA TGNP JIJINI DAR - ES - SALAAM

wandishi wa habari wakiwa katika viwanja vya TGNP Jijini Dae - es - Salaam aliye vaa tisheti nyekundu ni mkugugenzi wa mipango TGNP kutoka Mtandao wa Jinsia Tanzania Liliana Liundi

Mkurugenzi wa TAMWA Ananilea Nkya akiongea na wandishi wa Habari kutoka mikoa ya Tanzania bara Wandishi wa habari kutoka mikoa mbalimbali wakiwa katika mkutano na mkurugenzi wa TAMWA Nchini Tanzania katika ukumbi wa TGNP Dar - es - salaam



mwandishi wa habari wa Uhuru FM Juma Nyumayo kutoka Mkoa wa Ruvuma akibadirishana Mawazo na Doto kutoka Mwanza wakati wa Tamasha la Wanawake linalo shirikisha watu zaidi 2500 kutoka Zambia,Kenya, Burundi,Rwanda, Uganda,Ghana ,Africa kusini,Marecani na Ufaransa

No comments:

Post a Comment