KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, September 10, 2011








Hiyo ndiyo hali halisi inavyo onyesha mahindi yalivyo shonana mda simrefu kuta kuwa hakuna sehemu ya kuweka













Uwanja wa Zimanimoto katika manspaa ya songea ambao hutumika kwa michezo mbalimbali mwaka huu umetoa mpya baada ya kuwa ghala la hifadhi ya kitengo cha chakula ,uwanja umeanza kuelemewa baada ya mahindi kufurika katika uwanja huo , Hiyo imetokana na usimamizi mzuri wa mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr Cristina Ishengoma kusimamia kilimo.

No comments:

Post a Comment