KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, April 20, 2012

DIWANI KASIMU NTARA ACHUKULIWE HATUA ZA KISEREKARI KWA KUMJAZA MIMBA MWANAFUNZI

Diwani Kasimu Ntara wa kata ya Hanga anaye Tuhumiwa Kumpa mimba mtoto wa mwenyekitti Saidi Kupata huko mliayoyo Namtumbo vijijini


Mwenyekiti wa kijiji cha Mageuzi Saidi Kupata akitoa malalamiko yake kwenye mkutano wa Hadhara alivyo fanyiwa na Diwani Kasimu Ntara

Serikali ya Chama cha mapinduzi Sera zake Mikakati Mikakati yake na kuinua kipato cha Mwananchi wa chini mipango ambayo ikiwa na Usimamizi nzuri haina lawama. Hivi sasa katika Chaguzi zilizopita Baadhi ya Viti vya udiwani na Ubunge vimechukuliwa na Wapinzani.

Jambo hilo haimaanishi Wananchi wamechoka na Chama la ni kuwa Wananchi wamechoka na Viongozi wasio Waadilifu. Mipango mingi inayo panga Seriakali ina makusudi ya kuongeza Utendaji katika Sekta fulani kwa mfano Sera ya Chama cha mapinduzi imeazimia Kila Kata iwe na Sekondari jambo hilo limefanikiwa,

kazi kubwa ipo kwa wasimamizi kuona kama Maswala hayo yana yana patiwa Vitendea Kaz. Nimesema hapo awali kuwa Wananchi hawajachoka na na Chama cha Mapinduzi bali wamechoka na Watendaji, hebu nitoe mfano wa hivi karibuni Seriakali inahimiza Elimu,

Anatokea Kiongozi anampa Mimba Mwanafunzi wa kidato cha Pili katika Kata yake huyo Diwani badala ya kuonywa na kukanywa badala yake anapandishwa cheo na kuchaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri. Jee hapo ukipitishwa Uchaguzi hali inakuwaje.

Diwani huyo ajulikanaye kwa jina la Kasimu Ntara ndiye anayetuhumiwa kufanya Vitendo hivyo ni wazi amezalilisha Mkoa wa Ruvuma na Mbunge wa Jimbo hilo Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha mageuzi Said Kapata sasa watu kama hawa wakisha jua wananchi hawawapendi hukimbiliakujiunga na chama fulani ili kuficha maovu yao lamuhimu kama diwani kampa mimba mwanafunzi anaye achukuliwe hatua za kiserekarisasa .

Hebu ona aibu anayo ipata mwenyekiti wa serekari ya mtaa mliayoyo Saidi Kapata baada ya mwanaye kupewa mimba wananchi wanahoji kama mwenyekiti kashindwa kumshitaki diwa Kasimu Ntara mtu mwingine anaweza CCM Tafadhali ondoeni viongozi wachafu ili wananchi warudishe imani kwa serekari na amani iendelee

1 comment: