KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, April 24, 2012

SHUKURANI ZIWAENDEE TGNP KWA KUTOA ELIMU MKOANI RUVUMA MATUNDA NI HAYO HAPO CHINI

Kikao kilicho tukuka kikijadili jinsi ya kuweza kutokomeza mauaji mkoani Ruvuma dhidi ya Wanawake

wajumbe mbalimbali kutoka wilaya tano za mkoa wa Ruvuma wakijadili kwa kina changamoto zinazo sababisha mauaji dhidi ya watoto wakike walio chini ya miaka 20Mafundi walio piga bati jengo la police wanawake mkoani Ruvuma wakisalimiana na Mhamasishaji wamichango wa jengo hilo chini ya maelekezo ya TGNP


Juma Nyumayo akielekeza jinsi ya kupiga bati katika jengo la Police Wanawake jijini Songea Mkoani Ruvuma

Mwonekano wa jengo la police wanawake baada ya kuanza kuezeka sehemu ya mbele


WP Mfaume akiwa katika ofisi za Star Tv kuchukua uzoefu dhidi ya kutafuti maswala ya unyanyasaji kijinsia dhidi ya wanawake Mkoani Ruvuma


Wakongwe wa Mtandao wa police wanawake wakipeana mawazo jinsi mkoa wa Ruvuma unavyo ongezeka katika maswala ya vitendo vya kikatili dhidi ya wanake hapo wapo makao makuu ya Police Mkoani Ruvuma

1 comment: