KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, April 21, 2012

HALIMASHAURI ITAKAYO PATA HATI CHAFU VIONGOZI WAAJIBIKE

PICHA HIZO HAPO CHINI NI PICHA ZA KIKAO CHA AZAKI ZISIZO ZA KISEREKARI KILICHO FANYIKA DODOMA KUJADILI KUHUSU MAFANIKIO YA MKUKUKUTA TWO NA JINSI WANANCHI WAVYO SHIRIKI UANDAAJI WA BAJETI Wajumbe wa Azaki kutoka maeneo mbalimbali kutoka Tanzania Bara wakiwa katika tahtimini ya mafanikio ya Mkukuta TWO na kuangalia jinsi wanchi anavyo husishwa katika bajeti serekari za mtaa
Meneja Mradi wa TANGO Zaa Twalangeti akirabitu maswala ya Mkukuta two na mpango wa Bajeti
Mwana harakati kutoka TGNP Badi akiwa tayari kuwakilisha mada kuhusu mwanachi anavyo takiwa kushirikikuanda bajeti pamoja na kulinda rasilimali za serekari
wana Azaki wakiwa jijini Dodoma waki peruzi mambo mbali mbali yaliyo fanikishwa katika mkukuta two na yale ambayo hayaja fanikiwa

Vikundi mbalimbali vya wana Azaki waki pitia michakato mbali mbali ya kuweza kuisaidia serekari ili iweze kufikisha huduma kwa wananchi

No comments: