KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, April 20, 2012

JESHI LA POLICE LINATAKIWA KUHAKIKI KITABU CHA USALAMA BARABARANI

Jeshi la police nchini tanzania lina takiwa kuhakiki vitabu wanavyo wapa wanachi kwa ajili ya usalama wao wakiwa safarini. Kwanza nalipongeza jeshi la Police kwa kuweza kujali hali za wananchi wa Tanzania kwa kusambaza vitabu vya usalama zikiwa na majina ya wakuu wa Police mikoa yote pamoja na wakuu wa upelelezi mikoa yote.

sasa kinacho watatiza wananchi kila wanapo piga namba zilizopo inaonyesha kuwa wakuu wengi walikuwa katika kitabu hicho wame sitahafu  tungeomba kwakua kitabu hicho ni mhimu tungeomba kitabu hicho kitengenezwe tena upya

No comments:

Post a Comment