KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, April 24, 2012

MAENDELEO YA JENGO LA POLICE MKOANI RUVUMA

Ujenzi wa jengo la police wanawake mkoani Ruvuma hivi sasa umekamilika na vihi karibuni jiwe la msingi lina tegemewa kuwekwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Saidi Thabiti Mwambungu

Mwenyekiti wa Mtandao wa Police wanawake Mkoa wa Ruvuma Anna Tembo akitoa nasaha kwa Police wanawake mkoani Ruvuma


kundi zima la Police wanawake kutoka mkoa wa Ruvuma baada ya kikao katika makao makuu ya Police Mkoani Ruvuma

Mafundi wakiendelea kujenga jengo hilo kwa kumimina bimu

Police wanawake wakiwa katika kikao cha kutathimini ujenzi wa Jengo la Police Wanawake

Jengo la Police Wanawake likiwa lime anza kupanda baada ya usimamizi wa Kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Michael Kamhanda akishirikiana na wadau wa TGNP Mkoa wa Ruvuma Adamu Nindi na Juma Nyumayo

Msingi wa Jengo la Police ukiwa ume anza kujengwa huku mafundi wakisuka nondo kwa ajili ya nguzo

Jengo la Police Wanawake likianza kupimwa huku kamanda wa police Michael Kamhanda akikagua Msingi huo katika eneo la kituo kikuu cha police


Mwanzo wa ujenzi wa Jengo la Police Wanawake mkoani Ruvuma Hapo mafundi wakianza kupima jengo la police wanawake

1 comment: