KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, November 22, 2011

MAONYESHO YA TAMASHA LA 9 JIJINI DAE -ES - SALAAM

Marukus akielezea hasara zinazo patikana kutokana na nchi kukopa na kua tia wanchi katika umasini , umasikini umeongezeka kutokana na mikopo inayo ombwa

Washiriki wa Tamasha la 9 wakiwa jijini Dar - es - salaam kujadili mafanikio na maendeleo katika nchi ya Tanzania ,Ambao wamebaini kuwa jambo linalo ikumba Tanzania na kuingiza katika umasikini ni kutegemea misaada

Banda la The FOUNDATION lilioko katika jengo la Ubungo Plaza wakiwa wame weka maonyesho na kuwaeleza washiriki kuwa The Foundation civill imeweza kuwa wezesha Azaki 2500 kwa kuweza kuwapa ruzuku ya shilingi bilioni 37 na kutoa mafunzo kwa wanchi 400 toka The Foundation ilipo anza

wasiriki wa tamasha la Azaki kutoka Tanzania bara na Tanzania kisiwani wakiwa kwenye majadiliano

No comments:

Post a Comment