KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, November 29, 2011

WAUGUZI WATAKIWA WAWE NA MOYO WA HURUMA KWA WAGONJWA

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh.Saidi Thabit Mwambungu amewataka wauguzi kuwa na moyo wa Hururuma kwa wagonjwa kwani dawa kamili ya mgonjwa ni kauli mzuri ,Dawa ya pili ni kuwa karibu na wagonjwa, Jambo la Tatu kutunza siri za wagonjwa .Namnukuru "Mnamwona Mgonjwa yule hana siku za kuishi ana UKIMWI " Mwisho wa kunukuru Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu akikagua vifaa vilivyoko Maabara ya Hospitari ya Mkoa Songea akiwa na mganga mkuu Dr. Daniel Mlalekela


Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Mh. Said Thabit Mwambungu akieleza kuhusu juhudi zilizo fanywa na serekari kuhusu ulipaji wa Mahindi ya wakulima yapayo Tani 24,000 yenye thamani zaidi ya shilingi bilioni 10Wauguzi wa Mkoa wa Ruvuma wakimsikiliza mkuu wa mkoa jinsi serekari inavyo fanya juhudi ya kutatua kero zao ikiwa na pamoja na kutafuta jinsi ya kulipa malipo ya kujikimu yanayo tokana na madhara yanayo wapata wakiwa kazini

No comments:

Post a Comment