KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, November 22, 2011

VIONGOZI WA TTCL WAMEKUWA WAKIAJIBIKA KWA KUSOGEZA HUDUMA ZA TTCL KARIBU NA WANCHI KAMA WALIVYO FANYA UBUNGO PLAZA

Ndugu John Hamisi akiwa ofini Ubungo Plaza akihudumia wateja wa TTCL wateja wenyewe kutoka mikoa mbalimbali walio kuja kushiriki Tamasha la 9 la azaki zilizo kuwa za kiserekali kutoka Tanzania Mzima


Jengo la TTCL ambalo limo ndani ya Jumba la UBUNGO PLAZA Jijini Dar - es - salaam linavyo onekana kwa ndani



Banda la maonyesho la the Foundation civvil likiwa ndani ya jengo la Ubungo Plaza jijini Dar - es -salaam

No comments:

Post a Comment