KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, November 19, 2011

WAHITIMU WA MAFUNZO YA UDEREVA WA ASWA KUTOKUCHUKUA ABIRIA WENYE MADAWA YA KULEVYA

Kamanda Police Mkoa wa Ruvuma Maiko Kamhanda amewaasa Madereva kuwa macho na abilia wanao wasafirisha wasikubali kupokea mzigo wasio ujua endapo dereva ata kamatwa na mzigo katika gari lake iwe nyara za serekari au madawa ya kulevya kesi niya dereva aliye kamatwa,pia amewaomba kujiepusha na mwendo wa kasi unasababisha ajali barabarani

Mkuu wa chuo cha VETA Mkoa wa Ruvuma Gidion Olle Lalumbe akitangaza lengo la Veta na kusema lengo la veta kabla ya mwaka huu kumalizika ni kutoa mafunzo kwa madereva wapatao 3000

Mkuu wa usalama barabarani Cerestini Mtaki akiwa kanya madereva walio hitimu kuachana na kutoa rushwa kwa asikari wa usalama barabarani endapo mtu anatoa rushwa basi ajue ana makosa

viongozi wa mkoa wa Ruvuma wakiongozwa na kamanda wa Police mkoa wa Ruvuma kuliya aliye mbele ni mkuu wa VETA Mkoa wa Ruvuma Gidion Olle Lalumbe mama aliye katikati ni afisa usafiri, na aliye vaa suti ya kanga ni kamanda wa TAKURU Mkoa wa Ruvuma aliye kushoto ni kamanda wa mkoa wa Ruvuma Maiko Kamhanda

Mwenyekiti wa Madereva Karimu Hamis Manzi akipokea cheti cha kuhitimu udereva kutoka kwa kamanda wa police mkoa wa Ruvuma Maiko Kamhanda

wahitimu wa mafunzo ya udereva Mkoa wa Ruvuma wapatao 67 wakiwa wame piga picha ya pamoja na mgeni rasimi kamanda wa Police Mmkoa wa Ruvuma Maiko Kamhanda

Niwahitimu wapatao 67 ambao wamefanya mtihani wa Udereva katika chuo cha veta Songea hapo wakifikilia jee tuta faulu au la,

Wahitimu wa mafunzo ya udereva katika chuo cha veta wakisikiliza nasaha za mgeni rasimi ambaye alikuwa kamanda wa Police Maiko Kamhanda

No comments:

Post a Comment