KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, November 26, 2011

UBORA WA UTENDAJI KIHABARI KARINE YA UTANDAWAZI

Kazi kubwa ya wandishi wa Habari ni kuwakilisha kero zinazo wakabili watu wanao ishi pembezoni hapo Adamu Nindi akiwakilisha kilio cha wakulima wa Mkoa wa Ruvuma baada ya Serekali kusitisha ununuzi katika mkoa wa Ruvuma na wananchi kubaki na mahindi ambayo yana hitaji fedha zaidi ya shilingi Bilioni 8 ,Hapo ni katika Tamasha la 9 lililo andaliwa na The Foundation kutasimini na kuangali changa moto zinazo wakabili Watanzania katika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru.

Vyombo vya Habari Hivi sasa vimeboreshwa katika kufanikisha kupata habari kwa njia ya Video Camera hapo mpiga picha akichukua picha bila kutumia nguvu kwa kutumia mtambo wa kisasa .Vyombo mbali mbali Nchini Tanzania vinajitahidi kuelimsha wanachi kwa njia ya Televisheni hapo ni kituo cha Abood TV Mkoani Mrorogoro kikitoa habari kwa wananchi wa kanda ya kati, Hapo Mhariri wa Habari wa Abood Media Juma Kapalatu akihakikisha kila kitu kinaenda sawaHicho ni kituo cha Radio cha Abood FM katika mkoa wa Mrorogoro hapo ni wasomaji wa Tarifa ya Habari Wakisoma Tarifa ya Habari

Studio za Abood FM ziko makini katika urushaji wa Habari hapo wanangoja mwongozaji tayari kwa kuwa burudisha watanzania wanao ishi mikoa ya Morogoro,DSM,Iringa,Dodoma

No comments:

Post a Comment