KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, November 22, 2011

MKURUGENZI WA THE FOUNDATION AZITAKA AZAKI KUFANYA KAZI KWA UADILIFU

Mkurugenzi wa The Foundation John Ulanga akieleza mafanikio yaliyo letwa na The Foundation nchini Tanzania ,ameziomba Azaki kufanya kazi kwa uadilifu kuwa kimbia wa kaguzi wanapo kuja kukagua miradi ni moja ya uzaifu wa Azaki.

Washiriki katika Tamasha la 9 linalo fanyika jijini Dar - es - salaam wakimsikiliza Mkurugenzi wa The Foundation akitoa maelezo kuhusu Ruzuku zitakazo endelea kutolewa na The Foundation kuwa kuanzia sasa hakuta kuwa na Ruzuku za kusajili asasi.

viongozi wa Andamizi wa The Foundation wakiwa tayari kujibu changamoto zinazo zikabili Azaki

No comments:

Post a Comment