KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, November 9, 2011

MVUA ZIME ANZA KUNYESHA MKOANI RUVUMA JEE SEREKARI ITAWEZA KUNUNUA MAHINDI YALIYO BAKI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI NANE

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Saidi Mwambungu akihutubia mkutano wa Mawakala na watalamu wa kilimo alipongeza juhudi zilizo fanywa na Wakulima kwa kuzalisha mahindi mengi ambayo mpaka sasa mahindi yaliyo nunuliwa ni yenye thamani ya shilingi bilioni 7, Na Mkuu wa Mkoa Mh. Saidi Mwambungu alikiri kuwa serekari inahitaji fedha ya ziada bilioni nane ili kumaliza tatizo, Jee wakulima mvua imeanza na wanahitaji kulima kununua pembejeo fedha wata pata wapi ?

Hali ndiyo hiyo unayo iona Dalili ya kuanza kwa kilimo ni mito iliyo kauka kuanza kujaa maji .kitendawile kipo palepale Wanaruvuma ni wachapa kazi lakini wata kwama kutokana na vitendea kazi kukosa kulipwa kwa mahindi waliyo uza, Hapa wakulima wanangoja juhudi za Serekari tu ili wafanikishe kulima kupeleka Watoto Shule na kuweza kujiwekea akiba ya dharura eg. Afya

No comments:

Post a Comment