KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, November 19, 2011

SKILL PATH SCHOOL [GREEN VISION KATIKA MAAFALI YA WATOTO WA AWALI KATIKA ENEO LA MSAMALA

Umwonaye hapo juu ni mtoto wa mwandishi wa habari Gereison Msigwa ajulikanaye kwa jina la Wayne Msigwa ambaye katika matokeo ya mtihani wa kufungia shule amekuwa mtu wa pili .mshindi wa kwanza ni Vaileth Nchimbi

Watoto wa Skill Path School wakipokea vyeti vya kuhitimu shule ya awali , skill Path School ina fundisha kwa kutumia kingereza

Mwalimu mkuu wa Skill Path aliye vaa shati la blue omary Hakimu Foum akiwa na Mgeni Rasimi Adam Mbega kutoka Voda Com aliwasihi wazazi kuachana na mambo ya anasa badala yake wasomeshe watoto wao

picha ya chini na picha ya juu ni wahitimu wa shule ya Skill Path wakiwa katika mavazi ya kuhimu masomo ya awali

wanafunzi wa shule ya Skill Path wakiwa na furaha baada ya kuhitimu mafunzo ya shule ya awali

SKILL PATH SCHOOL

Ndugu msomaji wa http://www.songeahabari.blogspot.com/ utaona picha za watoto zina rudia rudia hiyo ni kumpa kila mtoto aliye kuwepo katika maafali aonekane nikimwacha mmoja basi ujue mimi mwandishi nitafute njia ya kupita una wajua watoto wadogo msomaji.

No comments:

Post a Comment