KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, November 26, 2011

UTOAJI WA TUZO KWA AZAKI ZILIZO FANYA VIZURI KWA KUTOA HUDUMA KWA WANANCHI WASHIO PEMBEZONI

Kuishi jiji la Dar - es - salaam kuna hitaji imani hebu ona msululu huu wa magari ikiwa unaenda mahali unahitaji kuweka mda waziada zaidi ya saa moja vinginevyo unaweza kuonekana mwongo, jambo lingine linalo kera DSM ni joto na msongamano wawatu na magari DSM inataka moyo

Mkoa wa Ruvuma ulikuwa mshindi wa Pili kwa Tanzania Nzima kwa kutoa huduma bora kwa wazee,Kwa kuweza kutoa fedha za matibabu kwa wazee walioko Mkoa wa Ruvuma kupitiaPADI Hapo ni Mkurugenzi wa PADI Iskaka Msigwa akipokea tuzo kwa Devota Likokola Mbunge wa Viti malumu kutoka Ruvuma

Mama likokola Mbunge wa Viti malumu akitoa Tuzo kwa akina mama walio fanya Vizuri katika mpango wa Vicoba Nchini Tanzania




Mlemavu kutoka Tanga akipokea Tuzo la kuweza kutoa huduma bora kwa Walemavu wazee Mkoani Tanga

Msanii Mrisho Mpoki akitoa Misitari kwa washiriki wa Tamasha la 9 katika jumba la Ubungo Plaza jijini Dar - es - salaam


Washiriki wa Tamasha la 9 wakishuhudia Mikoa ya Ruvuma,kilombelo,Tanga,Zanzibar Azaki zilizo pata Tuzo kwa kuweza kutoa huduma mnzuri kwa wananchi


Hii ni sehemu ambayo Serekari imekuwa ikifanyia mikutano yake Jengo hili liko Ubungo jijini Dar - es - salaam linauwezo wakuchukua watu zaidi ya I000

No comments:

Post a Comment