KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, May 29, 2012

AMINI USIAMINI MAMA HUYU ANA MIAKA 18 KATIKA KAZI MSHAHARA SHILINGI 30,000/=


Mama huyo hapo juu Eliza Mgohamwende ni mfanyakazi wa Halimashauri ya Mbinga kwa mda wa miaka 19 mpaka sasa. Lakini cha ajabu mama huyu ana fanya kazi kuanzia saa 1.30 asubuhi mpaka saa 12.00 jioni hana Jumamosi wala Jumapili au siku za sikuku lakini mshahara ni shilingi 30,000/= jee huo ni uajibikaji kwa wananchi .Viongozi wa Mbinga Mna semaje kuhusu hilo ?

No comments:

Post a Comment