KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, May 10, 2012

MKUU WA MKOA WA RUVUMA MH.SAID THABIT MWAMBUNGU AMEWATAKA WAHISANI WANAO AHIDI KUCHANGIA MICHANGO WALIYO AHIDI

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Saidi Thabit Mwambungu akitoa rai kwa kamati ya ujenzi wa jengo la Police wanawake kuwa makini katika kukusanya fedha zilizo ahidiwa na wadau shilingi milioni 32 zikusanywe kiuadilifu ili zimalize kazi iliyo baki

Ujumbe wa Kamati ya Ujenzi wa Jengo la Police Wanawake ukiwa na wajumbe watano Ins Anna Tembo,A/Ins Fadhila Chacha, S/SG Mesia Mfupa, Mwenyekiti Mhamasishaji Adamu Nindi ,Mratibu Juma Nyumayo
Ujumbe wa Kamati ya Ujenzi wa Jengo la Police Wanawake ukiwa na wajumbe watano Ins Anna Tembo,A/Ins Fadhila Chacha, S/SG Mesia Mfupa, Mwenyekiti Mhamasishaji Adamu Nindi ,Mratibu Juma Nyumayo
Mwenyekiti wa Mtandao wa Police Wanawake Ins Anna Tembo akipikea mchango wa shilingi 500,000/= kwa ajili ya ujenzi wa jengo la police wanawake
Mdogo wa Nadia akisalimia wageni walio kuja kuwatembelea ofisini kwake
Nadia Mahamud akisalimiana na A/INS Fadhila Chacha alipo tembelewa nyumbani kwake
Mzee Marufu Mdau wa Police Wanawake Mzee Mahamud Dost akisalimiana na mtunza kumbukumbu A/INS Fadhili Chacha alipo tembelewa nyumbani kwake Msamala Manispaa ya Songea
Mwenyekiti wa Uhamasishaji Wa jengo la Police Wanawake Adamu Mzuza Nindi akisalimiana na Mkuu wa Mkoa waruvuma
Mratibu wa Ujenzi wa Jengo la Police Wanawake Juma Nyumayo akiwa katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Said Thabiti Mwambungu
Mwenyekiti wa mtandao wa Police Wanawake Inspekita Anna Tembo akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Saidi Thabiti Mwambungu Ofisini kwake
Mtunza kumbukumbu wa ujenzi wa jengo la Police wanawake A/INS Fadhila Chacha alipo mtembelea mkuu wa mkoa ofisini kwake kutoa tarifa ya watu walio ahidi kuchangia jengo la Police Wanawake ambapo wadau mbalimbali waliahidi kuchangia shilingi milioni 32

No comments:

Post a Comment