KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, May 4, 2012

MAPINDUZI YA KIJANI AFRICA ,KILIMO CHA KISASASA

WANANCHI MBALIMBALI WAKIWA KATIKA MKUTANO WA HADHARA WAKIJADILI KUHUSU KILIMO KATIKA KIJIJI CHA NAMANGULI WILAYANI NAMTUMBO
Mkuu wa Wilaya ya Namtumbomkoani Ruvuma Exaveria Maketa akihimiza kilimo kupitia watalamu wa Uyole Mbeya
Kaimu Meneja Mradi Wiliamu Mmnali Akiratibu maswala ya Uboreshaji wa kilimokupitia Mapinduzi ya kijani ya Africa Chini ya uangalizi wa Kituo cha Uyole Mbeya
Mkuu wa wilaya ya Namtumbo Exaveria Maketa akipongeza Mradi wa Mapinduzi ya Kijani Africa jinsi walivyo bolesha kilimo kwa wilaya ya Namtumbo

No comments:

Post a Comment