KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, May 31, 2012

KAMANDA MPYA MKOANI RUVUMA AONGEA NA WANDISHI WA HABARI

Kamanda Mpya Mkoa wa Ruvuma awasili na kukaribishwa na Kamanda Michaeli Kamhanda kamama unavyo ona katika picha kulia ni kamanda Deusdedit Kaizilege Nsimeki na aliye kulia ni kamanda Michael Kamhanda wakiwa makao makuu ya Police Songea

Mwandishi wa Star Tv Adamu Mzuza Nindi akiwa amepiga picha ya Pamoja na Kamanda anaye Hamia Iringa Kamanda Maiko Kamhanda

Kamanda Mpya kushoto Deusdedit Kaizelege Nsimeki akiwa na aliye kuwa kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma kulia Maiko Kamhanda walipo kuwa wakiongea na waandishi wa habari kuhusu swala la kuzua uhalifu na kuweka mahusiano mema na Wandishi wahabari

wandishi wa habari wakipiga picha ya pamoja na makamanda wa mkoa wa Iringa na Ruvuma katika makao makuu ya Police Mkoa wa Ruvuma.Picha hii ni kuonyesha mahusiano mema yaliyo kuwepo kati ya waandishi wahabari na Jeshi la police Jee kwa Kamanda huyu Mpya Mahusiano yata kuwaje aliko toka alikuwa RCO Jee baada ya kuingia nafasi hii mpya hali itakuwaje mkoani hapa ,Jee juhudi zake zitaweza kumpita mwalimu wake Kamhanda au atakuwa chini ya yeye majibu tuta yaona katika utendaji wa kazi za kila siku,Waandishi tumpe moyo, tumpe nguvu,tushirikiane ,Mungu wabaliki waandishi Mungu libariki Jeshi la Police

Kamanda wa Police Mpya wa Mkoa wa Ruvuma Desidedit Kaizilege Nsimeki akiwa amepiga picha ya pamoja na Mwandishi wa Star Tv Adamu Mzuza Nindi

No comments:

Post a Comment