KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, May 27, 2012

BINTI NDEMBO NA WACHAWI KATIKA HIMAYA YAKE

Mganga mashuhuri Flola Ndimbo watiba za kienyeji ambaye ana weza kutibu homa kwa njia ya kisayansi pia anaweza kutibu kwa njia za kijadi makao yake makuu yapo Namabengo wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma kambi ya Tiba yake kwa Uchache ina watu sichini ya mia nne [400]


Mganga wa Jadi Flola Ndembo akiwa na Katibu wa wachawi katika eneo la matimila Songea Vijijini kulia kwake akiwa amekuja kujisalimisha baada ya ya kuwa mchawi kwa muda wa miaka 30 na kukabidhi vifaa vyake vilivyo kuwa vikitumika kwa ajili ya kuwangia

No comments:

Post a Comment