KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, May 14, 2012

SIKU YA MAMA DUNIANI NA SIKU YA FAMILIA NA SIKU YA WANAWAKE INA MAANA GANI KWA MTANZANIA ?

Nimeuliza swali kuwa mama na mwanamke ni nani jibu unaliona hapa watoto hao hapo juu ni watoto wakike lakini una weza kuona walivyo ng`aa hiyo ni kazi ya mama

Watoto hao hapo juu ni watoto wa vijijini lakini angalia walivyo pendeza hiyo ni kazi ya Mama ndiyo maana Tuna sema mama ana fanya kazi kubwa
Mwalimu mkuu wa Mtoto ni Mama hapo wapo katika Mkutano wa hadhara wakichukua elimu ili iende kwa mtoto nani kama mama
Pilipili mbuzi zikiwa kwenye mti jee unajua kwanini zina itwa Pilipili Mbuzi ni kwakuwa zina faa sana kwenye supu ya Nyama ya Mbuzi
Viumbe vingi hapa Duniani vina jali sana watoto hebu angalia vifaranga vinavyo mjali mama yao wakijua wazi kuwa ulinzi uko kwa mama yao
Vifaranga ulivyo viona hapo juu vimeingia kwenye mabawa ya mama yao baada ya mama yao kusikia sauti ya mwewe ili kuwalinda watoto wake unaweza kuona kazi ya mama
Mwanamke amepewa roho ya Huruma kwa Asilimia 100% pia amepewa ukatiri kwa asilima kubwa mwanamke akiwa na wazo la kuua mtoto wakati akizaa anaweza lakini wengi wamekuwa waungwana huyu hapo juu ni mwanamke yeye ameingia katika kazi ya kutibu watu kwa jina anaitwa Flora Ndembo.
Vijijini changamoto ni Maji lakini mtoto wakike yeye ndiye anaye kuwa tegemeo la kuchota maji kwa asilimia 100% kama unavyo ona hapo juu mtoto akivuta maji mita 20 kutoka chini Songea vijijini
Huyu ni Mtoto wakike lakini ukimwangalia utaona yuko makini kwa kujisomea hiyo ni karama waliyo pewa watoto wakike na Mwenyezi Mungu ili wawe walimu kwa familia yao hapo baadaye
Tunapo sema Mama kwanza nilazima ujue kuwa cheo cha kuitwa mama hakitolewi kiholela na mwenyezi mungu , Cheo hiki hupewa akina mama wenye moyo wa upendo na huruma hapo akina mama wakipata elimu ambayo kwa utashi walio pewa na Mungu huenda kuwa fundisha watoto wao nyumbani
Nini kazi ya Mama mama ana kazi kubwa sana ana takiwa awe na upendo huruma hapo mama akiwa hosipitali ya Peramiho Songea Vijijini akimuguza mumewe ambaye amepata upasuaji
Tunapo sema mwanamke ni umoja kwa wale walioko kazini wakiwa wameajiriwa na serikali au watoto wa kike walioko shuleni hii ina maana kwa ujumla, kuhusu mwanamke huyo hapo juu ni mmoja wa wanawake yeye ni afisa tawala wilaya ya Mbing.a

No comments:

Post a Comment