KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Saturday, May 26, 2012

MDAHALO KATIKA WILAYA YA MBINGI KUHUSU UAJIBIKAJI WA VIONGOZI KWA WANANCHI

Mwalishi wawalemavu akitoa hoja juu ya viongozi wasivyo fanya uadilifu kwa walemavu 1,Hakuna vielelezo vinavyo wafanya wao watumie barabara bila kuhatarisha maisha yao kwa kuwa uono wao ni hafifu, 2, walemavu wamiguu wana kosa viatu kutokana na bei ya viatu kuwa juu .Jee serekari haiwezi kutoa Ruzuku kwa viatu vya walemavu.




Mbunge Gaudence Kayombo akijibu hoja kuhusu matumizi ya mfuko wa jimbo ,amesema mfuko huo una wajumbe 7 hiyo uko kisheria hakuna fedha ambayo ina weza kutumika bila wajumbe kufahamu.Ameahidi kuitisha mkutano ambao uta husisha viongozi wa serekari pamoja na wananchi ili kujibu hoja zilizo tolewa kwenye Mdahalo


Mwakilishi kutoka The Foundation Ciliv Societry akitoa maelekezo kuhusiana na kujaza dodoso



Mwana sheria Komba akiwakilisha mada kuhusu mindo mbinu ya Barabara ,kuwa barabara zetu hazikamiliki kila mwaka zina kuwa mbaya kwa nini tusifuate mfano wa Mwanza wa kujenga barabara kutumia mawe, mawe tunayo kipi kinacho zuia alihoji ?


Mbunge wa Jimbo la Mashariki Mh. Gaudence Kayombo aliye Kulia akisikiliza kwa makini uwakilisho wawananchi kuhusu kero zao kwa Serekari


Mwakilishi wa Radio Maria Jofrey Nilahi akito Live Mdahalo wa Uajibikaji wa Viongozi kwa wananchi na jinsi wananchi wanavyo takiwa kuajibika kwa viongozi wao, watu wasio pungua 3,000,000 waliweza kupata ujumbe kupitia Radio Maria


Washiriki wa Mdahalo wa Uajibikaji viongozi kwa wananchi waliendelea kushangaa pale walipo ambiwa kuwa Tenda za wilaya hiyo hutolewa bila kushirikisha mawazo ya wananchi, wamedai utendaji watenda zinazo tolewa wilayani hapo hazi zingatii utalamu bali zina zingatia zaidi kujuana.


Wananchi walio hudhulia katika mdahalo wa uajibikaji walishangaa kusikia mfanyakazi wa Halimashauri ya Mbinga kusikia katika miaka 19 aliyo fanyia halimashauri hiyo bado ana pata mshahara wa shilingi 30,000/= huku wilaya ya mbinga ikidai kuongoza katika mapato.


washiki katika mdahalo wa uajibikaji wa viongozi wa katika wilaya ya mbinga walihoji vipi katika mdahalo kama huo ulio kusanya watu zaidi ya 250 ukose wawakilishi kutoka serekarini jee huo ndio mshikamano wa viongozi wa serekari na Wananchi ?


Mwanasheria Komba akieleza wajubu wa wabunge na madiwani na pia kuwa fahamisha kuhusu mfuko wa bunge unavyo fanya kazi kila mhula mfuko wa mbunge hutengewa shilingi milini 43 lakini kazi ya mfuko huo haufamiki fedha hizo zina tumika namna gani


Wananchi wanavyo sikiliza hoja juu ya uajibikaji wa viongozi wao viongozi kuanzia watendaji hadi mkurugenzi wapo njia moja katika kuwa puuza hawashirikishwi katika maswala ya maendeleo



Mdahalo ulio fanyika katika wilaya ya Mbinga kuhusu Uajibikaji wa Viongozi kwa wananchi na wananchi wanavyo weza kuajibika kwa viongozi wao ,lakini hilo limeonyesha utengano ulivyo kati ya viongozi na wananchi Viongozi katika kuamua maamuzi ya utekelezaji wa mambo ya maendeleo hawawashirikishi wananchi

No comments:

Post a Comment