KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Friday, May 4, 2012

UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI JENGO LA POLICE WANAWAKE SONGEA

Mwandishi wa habari wa Star tv Adamu Nindi akipokea cheti kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Saidi Thabit Mwambungu cha ufanyaji bora wa kazi kwa kuweza kuhamasisha na kuweza kufanikisha ujenzi wa jengo la police wanawake Songea ,
Mtoto ambaye aliokotwa na Police Wanawake baada ya kutelekezwa na Mama yake baada ya mama huyo kumtupa mtoto huyo katika shule ya msingi Mfaranyaki manspaa ya Songea
Police wanawake mkoa wa Ruvuma wakiwa katika sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi la jengo la pilice wanawake ,jiwe la msingi lililo wekwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Saidi Thabit Mwambungu
S/SG Measiah Mfupa akiwa katika sherehe za kuweka jiwela msingi wa Jengo la Police Wanawake
Mtoto aliye okotwa akiwa na kikosi cha Police wandamizi wa Police Wanawake mbele ya jengo lao baada ya kuwekwa jiwe la Msingi
Mtoto aliye tupwa na mama yake katika shule ya msingi mfaranyaki manspaa ya Songea
Police wakiwa na wandishi wahabariwalio simamia ujenzi wa jengo la police wanawake

kamanda wa police mkoa wa Ruvuma akipokea cheti cha utendaji bora wakazi hasa baada ya kusimamia jengo la polisi wanawake
juma Thomas Nyumayo akipokea cheti cha utendaji ulio tukuka baada ya kusimamia jengo la police
Asikari shupavu wa wa jeshi la Police Wanawake S/SG Mesiah Mfupa akipokea cheti cha usimamizi wa Ujenzi wa Jengo la Pilice Wanawake
Insipekita Anna Tembo akipokea cheti kilicho tukuka cha usimamizi bora wa ujenzi wa jengo la police wanawake songea cheti kimetolewa na mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu
Diwani wa chama cha chadema Joseph Fyime akiwa changia ujenzi wa jengo la Police wanawake ambapo alitoa shilingi 50,000/=
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Saidi Thabiti Mwambungu akihamasisha harambee ya ujenzi wa jengo la Police Wanawake
Kamanda wa POLICE Michael Kamhanda akitoa tarifa ya ujenzi wa jengo la Police Wanawake mkoa wa Ruvuma
inspekita Anna Tembo akitoa Tarifa ya vitendo vya unyanyasaji katika mkoa wa Ruvuma
Mheshimiwa Jenista Mhagama Mbunge wa Jimbo la Peramiho akitoa hotuba kupongeza ujenzi wa jengo la police wanawake ameahidi kukarabati choo cha jengo hilo

No comments:

Post a Comment