KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, May 8, 2012

MDAU WA POLICE WANAWAKE APATA NAFUU BAADA YA KUPATA AJALI MBAYA ILIYO SABABISHA KWENDA KUTIBIWA NCHINI INDIA

kamati ya ujenzi wa jengo la Police wanawake walipo mtembelea mzee Mahamud Dost baada ya kupata ajali ambapo matibabu yake yalifanywa nchini India hivi sasa hali yake ina endelea vizuri
kikosi cha jeshi la wanachi wakiwa katika paredi kari ona ndugu yangu msamba kama wa Adamu Nindi unge weza kupasuka hilo siyo paredi bali ni balaa angalia mwenzangu
kamati ya ujenzi wa Jengo la Police wanawake wakiwa wame mtembelea Mahamud Dost kumfariji baada ya kupata ajal
kamati ya ujenzi wa Jengo la Police wanawake wakiwa wame mtembelea Mahamud Dost kumfariji baada ya kupata ajali
Hili ni Duka la Ndia Mahmud Dost ambalo liko katika maeneo ya kituo cha mafuta msamala kila kitu kina patika
Mwonekana wa Duka la Nadia Mahamud kwa ndani hivyo ni baadhi ya vipodozi

Ins Anna Tembo na S/SG Mesiah Mfupa katikati ni Nadia Mahamud akiwa nje ya Duka lake lijulikanalo kwa jina Zizzou Quick Shop dada huyu Nadia amekuwa mdau wa jengo la Police Wanawake Songea

No comments:

Post a Comment