KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Wednesday, May 23, 2012

JEE AGIZO LA MLALE LILIKUWA NA MAANA AU LILIWASAIDIA WANANCHI MKOA WA RUVUMA

Hiyo ni ngao iliyo mkomboa Mwananchi wa Mkoa wa Ruvuma kitabu Hicho kiliitwa Agizo la Mlale ndicho kilicho kuwa mwongozo wa kumpeleka mwananchi wa Mkoa wa Ruvuma Apate Maendeleo .Jee Mwenzangu umewahi Kuona kitabu cha Agizo la Mlale /

Katika kumkomba mwananchi wa Mkoa wa Ruvuma kulikuwa na Ratiba ya Agizo la Mlale kukiwa na Ratiba ya kazi kama ilivyo hapo juu jee vitabu vilivyo Mkomboa mkulima wa Ruvuma mbona havipatikani kwenye Makitaba

No comments:

Post a Comment