KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Monday, May 21, 2012

SIKU YA VIPIMO DUNIANI YA FANYIKA KWA KUTENGENEZA MIZANI HOSPITALI YA MKOA RUVUMA

Watalamu wakala wa vipimo mkoa wa Ruvuma wakiwa Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma wakifanya kazi ya kutengeneza mizani katika kuadhimisha siku ya Vipimo Duniani
Mganga msaidizi wa Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma Dr Philips Moris Nyimbi akito changamoto zinazo weza kuwa kabili watu wasio fuata kanuni za kupima uzito hasara ni kupata dawa ambayo haiwezi kuponya
Meneja wakala wa vipimo Mkoa wa Ruvuma Harold Mneney akitoa Maelekezo ya jinsi ya kuzitumia mizani zilizopo Hospitali ya Mkoa amesema nilazima kila mara kuzifanyia usafi kuzik ili zisiweze kuharibika haraka aliye simama ni Dr Philips Moris Nyimbi
Ujumbe wa watalamu mawakala wa Vipimo wakiwa katika ofisi ya Mganga Mfawidhi Hospitali ya mkoa wa Ruvuma wakiwa katika siku ya Vipimo Duniani ambayo Huadhimishwa kila siku ya tarehe 20/05/kila mwaka
Watalamu ambao ni mawakala wa vipimo mkoani Ruvuma wakiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma wa Kitengeneza mizani zilizo haribika .MizaniTano zilibainika kuwa na ubovu mawakala wa vipimo mkoa wa Ruvuma waliweza kuzitengeneza na sasa zina fanya kazi vizuri .
Katika wodi ya Wajawazito imebainika mizani zao zikiwa na kasoro kwa bahati mzuri mizani hizo ziliweza kutengenezwa
Meneja wakala wa Vipimo Mizani Mkoa wa Ruvuma akibainisha kazi zilizo fanywa na watalamu wake Zaidi ya mizani 9473 zilikaguliwa watu 162 walibainika na makosa na kutozwa faini ya shilingi 33,603,000/= meja wakala wa vipimo ameagiza wananchi kutoa tarifa wanapo ona mizani mbovu au kuzitilia wasiwasi watoe tarifa mara moja .

No comments:

Post a Comment