KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Sunday, March 11, 2012

BABA WA TAIFA ALISEMA HAPENDI MICHEZO KUTOKANA NA MCHEZO WA AMANI KUGEUKA KUWA UWANJA WA MASUMBWI

Wanaume wakiwa wame mbeba shabiki wa yanga baada ya kuleta fujo uwanjani jee hiyo ni halali kuleta fujo kwenye sitarehe
Mtu mzima kama huyu anaenda uwanjani analeta vurugu akipigwa na wanaume ana anza kulaumu hivi usipo leta fujo huta faidi mchezo watanzania tujifunze kuwa na busara
kupenda ni ugonjwa aliye bebwa ni mpenzi wa yanga hapo akiwa amebebwa baada ya matokeo ya yanga na azamu kuifunga yanga mabao 3-i jambo lililo mfanya shabiki huyo azimie

No comments:

Post a Comment