KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Tuesday, March 13, 2012

MCHAKATO WA KUCHAGUA WA JUMBE WA MAJINA YATAKAYO PELEKWA KWA RAISI KWA AJILI YA KATIBA

Juma nyumayo katika kongamano jijini Dodoma la mchakato wa katiba akiwa ameketi katikati


Moja ya Wajumbe walio hudhuria ni pamoja na walemavu kama unavyo waona hapo juu

washiriki wa kongamano la kuhusu kuchagua wajumbe ambao watapelekwa kwa Rais ili majina hayo ya ingie katika kupokea maoni ya kuhusu katiba mpya dada mjerumani anaye onekana ni Lena Turowski kutoka mtandao wa KAPUMU [Kazi pamojs Muleba kushoto kwake ni Denes Kibamba

Mwenyekiti wa Mchakato wa Katiba Tanzania Deusi Kibamba akitoa maelezo katika kongamano ya kuchagua majina yatakayo pelekwa kwa Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa ajili ya kushiriki mchakato wa katiba mpya

wajumbe kutoka maeneno tofaauti nchini Tanzania wakijalili majina yatakayo pelekwa kwa mh.Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania kushiriki mchakato wa Katiba Mpya

Wajumbe kutoka Mkoa wa Ruvuma walio shiriki katika mchakato wa kuchagua wajumbe watakao ingia katika mchakato wa kujadili majina yatakayo pelekwa kwa Rais wakiwa katika ukumbi wa Dodoma Hotel katika ni Mathew Ngalimanayo na wa kwanza ni Adamu Nindi

No comments:

Post a Comment