KILA WAKATI ANGALIA STAR TV NA KUSIKILIZA RADIO FREE AFRICA Matangazo

UKIWA NA TANGAZO TAFADHALI WA SILIANA NA SISI KWA NAMBA 0755731234 AU 0755061588
Tuna pokea Matangazo ya StarTV na Radio Free Africa. Wasiliana nasi kwa Email: adammzuza@yahoo.com au mzuzanindi@gmail.com | Simu: 0755 731 234 au 0655 731 234   kwa Mawasiliano zaidi unaweza kutumia NO 0755061588 Judith Lugoye ,shuguli zote za blog hii anaweza kukusaidia MATANGAZO , AU HABARI

Thursday, March 22, 2012

MJUMBE KUTOKA TGNP AKITOA MAADA KUHUSU KAZI ZA

Mwakilishi wa Mungano wa Mashirika yanayo Tetea Haki za Akina Mama Badi Darusi ambaye ni mjumbe wa JPE pia ana tokea mtandao wa TGNP Hapo anaonekana akipongeza Juhudi zilizo fanywa na Wajumbe wa Mkoa wa Ruvuma ambao ni wajumbe wa TGNP kwa kuweza kujenga jengo la POLICE Wanawake mjini Songea Mada hiyo aliitoa akiwa katika ukumbi wa Dodoma Hoteli


Mwakilishi wa Azaki kutoka Bukoba ambaye anaasili ya Kijerumani akiwa katika Mfunzo ya Kuandika Tarifa za Miradi The Foundation Mafunzo yaliyo fanyika katika Hoteli ya Dodoma

No comments:

Post a Comment